Wasiwasi waibuka kuhusu msaada wa serikali kwa elimu ya juu

Wanafunzi wanne wasoma ndani ya maktaba ya chuo chao

Wanafunzi wanne wasoma ndani ya maktaba ya chuo chao Source: AAP Image/Moodboard

Serikali ya shirikisho imeshtumiwa kwa kuwapuuza wanafunzi wakimataifa, katika mfuko wake mpya wa misaada ya elimu ya juu.


Taasisi za elimu ya juu zitapunguza gharama ya baadhi ya mafunzo kuanzia mwezi ujao wa Mei, kwa ajili yakujaza pengo za ujuzi nakusaidia uchumi kupona, janga la coronavirus litakapo isha.

Wakati huo huo mweka hazina wa taifa Josh Frydenberg, amesema serikali haina mipango yakubadili sheria zilizo tangazwa kama sehemu ya mfuko wake wa JobKeeper.

Unaweza endelea kupata taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii sbs.com.au/coronavirus


Share