Hata hivyo, maelfu yawatu walijumuika katika maandamano hayo mjini Melbourne kuonesha mshikamano na waandamanaji wanao pinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani baada ya polisi mzungu kumuuwa mmarekani mweusi.
Waandamanaji hao walikuwa wakipinga pia mauaji ya mahabusu weusi, katika vizuizi nchini Australia.