Walio pokea chanjo hiyo walichaguliwa kutoka kundi la watu, ambao wako hatarini zaidi katika jamii ya Australia.
Wa Australia wakaribisha utoaji wa chanjo ya kwanza ya COVID-19

PM Scott Morrison receives the COVID-19 vaccine. Source: AAP
Uzinduzi wa chanjo ya COVID-19 nchini Australia, umepokewa kwa afueni na matumaini na jamii yakimatibabu, pamoja na watu wa kwanza walio pokea chanjo hiyo.
Share