Vizuizi vya COVID-19 vinabadili majukumu ndani ya familia?

Baba afanya mazoezi pamoja na mwanawe mjini Melbourne

Baba afanya mazoezi pamoja na mwanawe mjini Melbourne Source: AAP

Jukumu la baba katika maisha ya familia inapitia mageuzi, wengi wao kwa sasa wakifanyia kazi nyumbani wakati wa vizuizi vya coronavirus.


Kupitia vizuizi hivi, baba wengi wamegundua kuwa wanaweza tumia wakati mwingi zaidi kuwahudumia nakuwalea watoto wao.

Unaweza endelea kupata taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Share