Vijana wakabiliwa kwa wimbi lamadeni

Debt Collection

Source: AAP

Utafiti mpya kwa tabia zawatumiaji pamoja na mitazamo wakati wakilele cha janga la coronavirus, imeonesha takwimu zakutisha zinazo wazingira vijana wanao kabiliwa na wimbi la deni.


Utafiti wa kituo cha watumiaji sera na utafiti, unaonesha kati ya mwezi Mei na Julai, vijana nchini Australia wanategemea zaidi mikopo au kukopa hela kutoka kwa wengine.

Iwapo unakabiliwa kwa matatizo yakifedha, tembelea tovuti hii: www.moneysmart.gov.au au pigia simu shirika lakitaifa linalo toa msaada wa deni: 1800 007 007.

Na unaweza endelea kupata taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Share