Jimbo hilo nilakwanza nchini kuchukua mwelekeo tofauti namajimbo mengine, kwakuto regeza vizuizi wakati kunaongezeko la hofu kuhusu wimbi la pili la COVID-19.
Victoria lawajimbo lakwanza kurejesha vizuizi vya COVID-19

Victorian Premier Daniel Andrews and Victorian Health Minister Jenny Mikakos. Source: AAP
Jimbo la Victoria linarejea tena katika vizuizi vikali vyakudhibiti maambukizi ya coronavirus, baada ya ongezeko lingine la visa vya maambukizi kuripotiwa katika jimbo hilo.
Share