Watoto wenye chini ya umri wa miaka 18, kisheria hawawezi amua ambako wata ishi. Wazazi lazima wafikie makubaliano kuhusu mipangilio ya malezi ambayo ni salama, yavitendo na inayo walenga watoto husika.
Ni mhimu kupata ushauri wa mwanasheria kabla yakufanya maamuzi yoyote, kama unahisi unashinikizwa kukubali mpangilio fulani wa uzazi na, haswa kama unapitia uzoefu wa vurugu ya familia.