Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani amelazimika kuvunja mila ya karne kadhaa ya ibada ya Jumapili ya Pasaka kwa kuiendesha misa hiyo kwa njia ya mtandao badala ya kukaa na waumini kutokana na khofu ya kirusi cha corona.
Kumekua na kile kinachoonekana kama hatua inayotia moyo katika juhudi za kukabiliana na janga la virusi vya corona hususan vita dhidi ya maambukizi ya virusi hivyo katika mataifa ya Afrika Mashariki ya Kenya na Rwanda.
Rais wa Marekani Donald Trump anasema uamuzi wa kuruhusu shughuli kuendelea nchini kama kawaida, “ ndio uamuzi mkubwa ambao sijawahi kukabiliwa nao.”