Taarifa za habari: Wafungwa 3,973 waachiliwa huru Tanzania

Rais Magufuli atao hotuba

Rais Magufuli atao hotuba Source: Ikulu Tanzania

Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli, Jumamosi alitoa msamaha kwa wafungwa wapatao 3,973 na kuwaachilia huru wakati wa maadhimisho ya miaka 56 ya muungano wa Tanzania.


Waziri wa afya Greg Hunt amesema kuendelea kuwa na viwango vichache vya maambukizi ya coronavirus nchini Australia vinatia moto.

Mabara ya Ulaya na Asia yafarijika kwa kupanda bei za hisa kutokana na COVID-19 kudhibitiwa


Share