Taarifa za habari: Museveni adai "Itakua ni uendawazimu kuendesha uchaguzi wakati wa corona"

Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni

Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni ahotubia taifa kuhusu COVID-19 Source: Yoweri Kaguta Museveni

Mweka hazina wa taifa Josh Frydenberg ajiandaa kutoa maelezo mapya kuhusu uchumi, katika siku ambayo alistahili tangaza bajeti yataifa.


Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa itakua ni 'uendawazimu' kuendesha uchaguzi wakati wa mlipuko wa virusi vya corona.

Maafisa katika jimbo lenye utajiri wa mafuta la Rivers nchini Nigeria wamevunja hoteli mbili kufuatia madai ya kukiuka sheria za kukaa nyumbani zilizowekwa kwa lengo la kudhibiti kusambaa kwa virusi vya corona.

Kufungwa kwa mpaka wa Tanzania na Zambia kumeongeza mjadala wa namna Tanzania inavyopambana na corona na athari kwa nchi zinazoizunguka.

 


Share