Taarifa za habari:Kuachiwa huru kwa kadinali George Pell kwa washangaza wahanga

Cardinal George Pell

Cardinal George Pell Source: AAP

Kardinali George Pell ameachiwa huru kutoka gerezani, baada ya mahakama kuu ya Australia kufuta hatia aliyopatwa nayo kwa makosa ya unyanyasaji kingono dhidi ya watoto.


Waziri mkuu wa Uingereza Boris Johnson amelala hospitalini katika chumba cha wagonjwa mahututi baada ya afya yake kuzorota kutokana na virusi vya corona.

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza marufuku ya kuingia na kutoka katika kaunti za Nairobi, Kilifi, kwale na Mombasa huku idadi ya maambukizi ya virusi vya corona ikiongezeka kwa visa 16 zaidi.

Na pingu zamaisha zawafikisha wanandoa wapya, mahakamani Afrika Kusini.


Share