Taarifa ya habari 9 Juni 2020

Bango la taarifa za habari za dunia la SBS

Bango la taarifa za habari za dunia la SBS Source: SBS

Kuondolewa kwa sekta moja ya wafanyakazi kupokea ruzuku ya mshahara wa Jobkeeper, kwa ibua mvutano kati ya serikali na upinzani


Serikali ya NSW imeziundua kampeni mpya ya umma ya uelewa wa ubaguzi wa rangi, kwa ajili yakuwasaidia waathiriwa wa visa vya ubaguzi wa rangi kuelewa haki zao.

George Floyd, Mmarekani mweusi mwenye umri wa miaka 46 ambaye mauaji yake na polisi mweupe yamembadilisha kuwa picha ya ulimwengu ya mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi, atazikwa leo mjini Houston, Texas ambako alikulia.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA Freeman Mbowe amevamiwa na kushambuliwa na watu wasiojulikana wakati akirejea nyumbani kwake jijini dodoma.


Share