Jimbo la New South Wales, lina endelea kurekodi ongezeko ya visa vya maambukizi ya virusi vya Coronavirus ndani ya jamii pamoja na kifo kimoja.
Taarifa ya habari 8 Agosti 2021

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili
Dereva wa texi, ameingiza mji wa Cairns na maeneo yakaribu katika vizuizi vikali vya kudhiti usambaaji wa maambukizi ya COVID-19 ndani ya jamii.
Share