Taarifa ya habari 7 Julai 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS

Bango la taarifa ya habari la SBS Source: SBS

Maelfu waondoka Victoria kabla yampaka wa New South Wales kufungwa.


Serikali ya Misri yawakamata madaktari wanaokosoa hali ya maambukizi ya COVID-19 nchini humo, na wafanyakazi wengine wa afya wanasema wameonywa na viongozi wao kukaa kimya au kuadhibiwa.

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, Jumatatu alitangaza kuanza tena shughuli za kawaida nchini, wakati serikali ikichukua hatua ya kulegeza masharti ya COVID-19.

Aliyekuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi wa Tanzania, na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bernard Membe, amerejesha kadi ya uanachama wa Chama hicho.


Share