Zaidi ya watu 52 wameuawa katika jimbo la Oromiya nchini Ethiopia katika maandamano ya kupaza sauti dhidi ya mauaji ya mwanamuziki Haacaaluu Hundeessaa
Taarifa ya habari 5 Julai 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Source: SBS
Watu ambao wako ndani ya karantani ya lazima mjini Melbourne, kupewa msamaha wa kodi za nyumba, pamoja na misaada mingine toka kwa serikali yajimbo hilo.
Share