Taarifa ya Habari 4 Janauri 22

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Australia inarekodi zaidi ya kesi 37,000 mpya za COVID-19 kwa siku moja huku kulazwa hospitalini kukiongezeka


Hofu ya mlipuko mwingine mbaya jumba la Newmarch mjini Sydney baada ya vipimo vya mfanyakazi kuonyesha ana virusi wakati huo huo Milipuko ya COVID-19 Australia yapamba moto na kuvuka zaidi ya 500,000 tangu janga kuanza.

Na katika Habari za Kimataifa, Spika wa Bunge Tanzania amuomba radhi Rais Samia na Wananchi.


Share