Kitaifa:
- Zaidi ya watu 400 walio na COVID-19 waliambiwa kimakosa kuwa wamepimwa hawana
- Huduma za upimaji wa COVID-19 PCR vyaelemewa, Waziri Mkuu aonya, huku jimbo la NSW likirekodi maambukizo mapya 6,394
Kimataifa:
- Makumi kwa maelfu waandamana kupinga mapinduzi kote Sudan