Taarifa ya habari 22 Disemba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Waziri wa Afya wa Victoria Martin Foley atangaza kuwa mpaka sasa wa jimbo hilo umefungwa rasmi. Aonya, kwa mtu yoyte anayejaribu kuingia Victoria kutoka NSW asifanye hivyo.


Australia Magharibi itafungua tena mpaka wake na Australia Kusini kuanzia saa sita usiku wa mkesha wa sikukuu ya Krismasi.

Watu wanne wameshtakiwa kwa kusababisha moto ambao ulienea sana kwenye Kisiwa cha Fraser.

Na Rwanda yaimarisha usalama Afrika ya Kati.


Share