Taarifa ya habari 18 Mei 2021

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Ubaguzi wa rangi waendelea kuwa tishio Australia Na mmkazi mmoja ashambuliwa na kuuawa na papa huku Mfanyabiashara wa pili wa Australia afariki kwa Corona India


Tume ya uchunguzi, yabaini watoto wengi kunyanyaswa,

Wafanyabiashara wamshinikiza Waziri Mkuu Australia kufungua mipaka ya nchi,

Na katika michezo, Muaborigino wa kwanza wa kike kuanza kuchezesha mpira wa kikapu wakati huko Uingereza, wachezaji wa zamani wataka mdhibiti huru kwenye soka.


Share