Taarifa ya Habari 17 Agosti 2021

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili

Jimbo la NSW larekodi visa 452 vya Uviko 19 Huku ikirekodi visa 24, Waziri Victoria ashutumu jamii ya Wayahudi kukiuka sheria za Uviko 19 Nalo Jimbo la ACT laonywa kuongezeka maambukizi baada ya visa 17 kutangazwa leo


Katika Habari za Kimataifa,

Mchunga Ng'ombe aibuka kuwa Rais wa Zambia

Na Wananchi wahaha viwanja vya ndege Afghanistani

Na katika Micheo, 

Simba na Yanga zakita kambi Morocco

Na huko Uingereza, Tonganga awafunika Grealish na Sterling.

Gonga kwenye kiunganisho kusikiliza zaidi.


Share