Shirika la Afya Duniani sasa linaonya kuwa janga la COVID-19 linaendelea kuwa baya zaidi ulimwenguni na kwamba huenda hali ya kawaida iliyokuwepo zamani isirejee hivi karibuni.
Vikosi vya usalama nchini Uganda vinafanya msako kwa waandishi wa habari ambao wanafuatilia na kutoa changamoto dhidi ya utawala wa miaka 34 wa Rais Yoweri Museveni.