Ila kwa sasa serikali imesema wanafunzi wanastahili baki shuleni, na wazazi wao wabaki kazini.
Shinikizo yaongezeka kwa serikali ya Australia ifunge shule zote nchini

Mwanafunzi afikishwa katika shule ya Presbyterian Ladies College mjini Sydney Source: SBS
Wakati Uingereza imechukua hatua yakufunga shule zote, shinikizo linaendelea kuongezeka kwa serikali ya Australia ichukue hatua hiyo pia.
Share