Wanafunzi hao hawafuzu kupokea malipo ya JobSeeker au JobKeeper ila, baadhi yaserikali zamajimbo na wilaya zinatoa msaada wakifedha.
Sasa shinikizo limeongezeka kwa serikali ya New South Wales nayo itoe msaada huo.
Shirika la Turbans4Australia lagawa vyakula, kwa wanafunzi wakimataifa wanao kabiliwa kwa wakati mgumu kwa sababu ya COVID-19 Source: SBS
Sasa shinikizo limeongezeka kwa serikali ya New South Wales nayo itoe msaada huo.
SBS World News