Hata hivyo, viongozi wa jamii yawaislamu wana wahamasisha waumini, waepuke vikundi vya watu na waombee nyumbani.
Sherehe za Eid wakati wa janga la Coronavirus

Mwanamke aandaa chakula cha Eid akitazama simu nchini Malaysia Source: E+
Waislamu kote nchini Australia wameadhimisha Eid, ila wakati bado kuna vizuizi vya Covid-19, maadhimisho ya Eid yatakuwa tofauti kuliko ya miaka ya nyuma.
Share