Nancy"Nivizuri kuzuia kuliko kujaribu kutengeneza, wakati janga imeharibu"

Fukwe ya Tamarama mjini Sydney ikiwa bila watu

Fukwe ya Tamarama mjini Sydney ikiwa bila watu. Source: Getty Images

Wakaaji wamaeneo ya Sydney, wame anza wiki yatatu yamakatazo na vizuizi vya kukabiliana na Coronavirus.


Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, Bi Nancy alichangia maoni yake kuhusu hatua ambazo serikali ya jimbo la New South Wales imechukua, kukabiliana na usambaaji wa virusi vya COVID-19 ndani ya jamii.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share