Melbourne yawekwa chini ya marufuku yakutoka nje usiku, na masharti makali ya coronavirus

Wateja wapiga foleni nje ya duka, kabla yamarufuku yakutoka nje kuanza

Wateja wapiga foleni nje ya duka, kabla yamarufuku yakutoka nje kuanza Source: AAP

Maafisa wa afya jimboni Victoria wanatekeleza vizuizi vikali vya kutangamana chini ya hatua ya nne ya vizuizi mjini Melbourne


Hatua hiyo inalenga kuchukua nafasi ya sheria za vizuizi ambazo hazikuwa ngumu, ambazo kiongozi wa jimbo hilo amesema zimedumu kwa muda wa miezi.

Kiongozi wa Victoria Andrews amesema ataendela kujadili msaada wa mapato pamoja na hatua za biashara kuendelea kuwa namapato, katika mazungumzo atakayo fanya na waziri mkuu Scott Morrison. Afisa mkuu wa afya Brett Sutton naye amesema, matokeo ya hatua ya nne ya vizuizi yatabainika katika siku saba.

Unaweza endelea kupata taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Share