Mchakato wa urithi ni upi nchini Australia

Australia Explained - Inheritance Laws

Your investments have been growing quite well Credit: AlexanderFord/Getty Images

Tofauti na nchi zingine, wa Australia huwa hawalipi kodi ya urithi kwa mali wanazo rithi.


Hata hivyo, kuna sheria kali za urithi na wakati zaidi ya 50% yawa Australia wanakufa bila wosia, mara nyingi mahakama hulazimishwa kuingilia kati.

Mtu anapo fariki, anaweza acha mali ambazo jamaa na marafiki hurithi. Mali hizo hujulikana kwa jina la ‘mali ya marehemu’ na, wanao pokea mali hiyo hujulikana kama wanufaika.

Share