Watu hao wame gadhabishwa na hatua yakuwaruhusu watu wengi zaidi, kujumuika migahawani, kuliko sehemu za ibada chini ya mchakato wa jimbo la Victoria, wakurejesha hali ya kawaida jimboni humo. Waumini hao wame wasilisha maombi yao kwa kiongozi wa jimbo la Victoria.
Takriban 60% yawa Victoria, walijitambua kama waumini katika sensa iliyo pita.