Kura ya maoni ya Voice ina husu nini?

Wanaharakati wa kampeni za kura ya 'LA' na 'Ndio' katika kura ya maoni ya Voice.png

Baadae mwaka huu, wa Australia watashiriki katika kura ya maoni ambako wata ulizwa kupiga kura ya NDIO au LA kwa swali lifuatalo: Una unga mkono mageuzi kwa katiba kuwatambua wa Australia wa kwanza kwa kuanzisha Sauti yawa Aboriginal na wanavisiwa wa Torres Strait?


Ila the Voice ni nini na, hoja zaku unga mkono nakupinga hoja hizo ni gani? Katika mwaka wa 2017, viongozi 250 wajamii za asili kutoka sehemu zote nchini walijumuika Uluru. Hapo wali unda naku pitisha Kauli ya Uluru kutoka Moyoni.

Maneno haya rahisi lakin ya kishairi yaliomba vitu vitatu- Sauti, Mkataba na Ukweli.

Kura hiyo ya maoni inatarajiwa kufanyika wakati wowote kati ya Oktoba na Novemba, tarehe bado haija tangazwa. Kufanikiwa, kampeni ya ndio itahitaji wapiga kura wengi katika majimbo mengi, hatua ambayo ni ngumu kufikia.

Wanaharakati wamesema wana endelea kuwa na matarajio na wanaomba wa Australia wazingatie nia zao nzuri kutimiza kazi hiyo.

Share