Jinsi nilikabiliana nakushinda janga la COVID-19

Tests begin of COVID-19 vaccine at University of Queensland

Tests begin of COVID-19 vaccine at University of Queensland Source: AAP/UNIVERSITY OF QUEENSLAND POOL

Janga la COVID-19 lina endelea kusababisha maafa makubwa nchini Australia, na jamii yawatu wenye asili ya Afrika hawajapona janga hilo.


Mwanaume mmoja aliye ambukizwa virusi vya COVID-19 jijini Melbourne, alichangia uzoefu wake waku kabiliana nakushinda janga hilo katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS.


Share