Je utaratibu wakufanyiwa vipimo nakupata matibabu ya coronavirus ni upi?

CSIRO scientists research coronavirus in Victoria.

CSIRO scientists research coronavirus in Victoria. Source: AAP

Idadi ya watu watatu wamefariki nchini Australia, na takriban watu 100 wanakabiliana na virusi vya coronavirus nchini.


Katika sehemu ya pili yamahojiano haya yakujua zaidi kuhusu kiini cha virusi hivi na jinsi yakupata kinga, Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilizungumza na mtaalam wa magonjwa yakuambukiza, anaye fanya kazi katika moja ya hospitali kubwa nchini Australia, ambako waathiriwa wa virusi hivyo wanapokea matibabu.

Mtaalam huyo alifafanua hatua ambazo mtu anastahili chukua, anapo jihisi anavirusi vya coronavirus, pamoja na mbinu zakujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi hivyo vya coronavirus.


Share