Tume yakifalme yawalemavu ilisikia ushahidi kuwa watu wenye ulemavu, wana ogopa kubaguliwa hususan katika swala lamatibabu.
Kwa sasa kuna wafanyakazi 80 na washiriki 37 walio ambukizwa COVID-19 katika sekta hiyo, takriban wote wakiwa jimboni Victoria.