Dozi za kwanza za chanjo ya coronavirus za AstraZeneca zawasili nchini

Chanjo za kwanza za coronavirus za AstraZeneca zawasili mjini Sydney

Chanjo za kwanza za coronavirus za AstraZeneca zawasili katika uwanja wandege wakimataifa wa Sydney, Jumapili, 28 Februari, 2021. Source: AAP

Australia imerekodi siku nyingine bila kuwa na kesi ya maambukizi yoyote ya virusi ndani ya jamii.


Wakati wa Australia wengi wanatarajia kupokea chanjo ya AstraZeneca, dozi kadhaa za chanjo hiyo zime wasili tayari mjini Sydney.

Kwa hatua za afya na misaaada inayotolewa katika jibu la janga la COVID-19 katika lugha yako, tembelea tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Share