Vizuizi vya serikali kwa ajili yakuzuia usambaaji wa maambukizi ya coronavirus, vilimaanisha mipango mbadala yakushiriki katika harusi ilihitajika haraka.
Coronavirus yawalazimisha wageni waalikwa kufuatilia harusi mtandaoni

Wageni waalikwa wafuatilia harusi kwenye mtandao wa Zoom Source: Supplied
Maandalizi yakuhudhuria harusi yalikuwa yamekamilika, ila Coronavirus ikasambaratisha mipango yote.
Share