Kampeni za Ndio na La, zimeshtumiwa kwa kusambaza taarifa zakupotosha kwa ajili yaku pata ushindi debeni.
SBS Swahili ilizungumza na mwanasheria Bw Blaise Itabelo, ambaye ame wahi wania udiwani katika halmashauri ya jiji la Logan, Queensland. Bw Itabelo aliweka wazi baadhi ya mbinu ambazo wanasiasa hutumia katika kampeni zao za uchaguzi.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.