Maelfu wapiga foleni kupokea chakula Afrika Kusini

Video imeonesha maelfu yawatu wakipiga foleni kupokea vifurushi vya chakula, katika mji wa Centurion, ambao umewekewa vizuizi vya Coronavirus katika taifa la Afrika Kusini. Foleni hiyo ina umbali wa kilomita 4.

Thousands queue for food in locked down South Africa

Source: Reuters


Share

Published


Share this with family and friends