Australia's reopening to visa holders delayed by two weeks to wait for more Omicron information

Prime Minister Scott Morrison has called a meeting of the national cabinet for Tuesday to further discuss the Omicron variant and Australia’s response.

Aina ya kirusi cha Omicron cha UVIKO-19 kime wasili Australia baada ya kesi mbili kuthibitishwa katika wasafiri wawili kutoka ng'ambo.

Wasafiri wawasili katika uwanja wakimataifa wa ndege wa Sydney wakivaa barakoa. Source: AAP

1 min read
Published 30 November 2021 8:19am


Share this with family and friends